Friday, January 11, 2013
Thursday, January 10, 2013
LADY JAYDEE na GARDNER WAENDELEA VYEMA NA SAFARI YA KUUPANDA MLMA KILIMANJARO.
Leo ni siku ya nne ya safari ya Lady Jaydee na mume wake Gadner kuupanda Mlima Kilimanjaro. Kwa mujibu wa picha kutoka kwenye blog ya kilidovetour wanaiongoza safari hiyo, wote wanaonekana kuwa ngangari wasiokuwa na hata chembe moja ya kurudi nyuma.














Subscribe to:
Posts (Atom)