Thursday, January 10, 2013

LADY JAYDEE na GARDNER WAENDELEA VYEMA NA SAFARI YA KUUPANDA MLMA KILIMANJARO.




Leo ni siku ya nne ya safari ya Lady Jaydee na mume wake Gadner kuupanda Mlima Kilimanjaro. Kwa mujibu wa picha kutoka kwenye blog ya kilidovetour wanaiongoza safari hiyo, wote wanaonekana kuwa ngangari wasiokuwa na hata chembe moja ya kurudi nyuma.

DSC01402 (640x480)


Safari si nyepesi!!Safari si nyepesi!!
DSC01443 (640x480)

GadnerGadner
Iron lady!!Iron lady!!
Hakuna kurudi nyumaHakuna kurudi nyuma
Binti KomandoBinti Komando
DSC01496 (640x480)
DSC01497 (640x480)


Jide, Gadner na mpiga picha waoJide, Gadner na mpiga picha wao
Bado tuko gadoBado tuko gado
DSC01512 (640x480)
Gadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewaGadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewa
DSC01516 (640x480)